Afisa Mtendaji Mkuu wa BRELA, Bw. Godfrey Nyaisa (kulia), na Katibu Mtendaji wa BASATA, Dkt. Kedmon Mapana (kushoto), wakionyesha hati ya makubaliano ya ushirikiano, yenye madhumuni ya kulinda kazi za sanaa nchini kwa kuwezesha usajili wa kazi na miradi, na kutoa fursa ya kutumia haki za ubunifu na sanaa kama mtaji wa maendeleo, tarehe 12 Agosti 2025, jijini Dar es Salaam.