Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhi tuzo kwa BRELA kama Taasisi iliyofanya vizuri katika kuchangia gawio la wastani wa Shilingi Bilioni 16.8 kila mwaka. Kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora), Prof. Kitila Mkumbo; kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya BRELA, Prof. Neema Mori.