Ada za Kampuni
Ada na Gharama za Usajili wa Makampuni
|
Na. |
Aina ya Huduma / Maelezo |
Gharama / Ada (Tsh.) |
|
1 |
Usajili wa Kampuni yenye Mtaji wa Hisa (Kulingana na Thamani): |
|
|
(a) Zaidi ya Tsh. 20,000 hadi Tsh. 1,000,000 |
95,000/= |
|
|
(b) Zaidi ya Tsh. 1,000,000 hadi Tsh. 5,000,000 |
175,000/= |
|
|
(c) Zaidi ya Tsh. 5,000,000 hadi Tsh. 20,000,000 |
260,000/= |
|
|
(d) Zaidi ya Tsh. 20,000,000 hadi Tsh. 5,000,000 |
290,000/= |
|
|
(e) Zaidi ya Tsh. 50,000,000 hadi Tsh. 100,000,000 |
400,000/= |
|
|
(f) Zaidi ya Tsh. 100,000,000 hadi Tsh. 500,000,000 |
450,000/= |
|
|
(g) Zaidi ya Tsh. 500,000,000 hadi Tsh. 1,000,000,000 |
500,000/= |
|
|
(h) Zaidi ya Tsh. 1,000,000,000 hadi Tsh. 10,000,000,000 |
600,000/= |
|
|
(i) Zaidi ya Tsh. 10,000,000,000 |
1,000,000/= |
|
|
2 |
Usajili wa Kampuni ambayo haina mtaji wa hisa |
500,000/= |
|
3 |
Ada ya utunzaji wa Jina la Kampuni |
50,000/= |
|
4 |
Kwa mabadiliko ya Jina la Kampuni |
22,000/= |
|
5 |
Upokeaji/usajili wa hati ya kisheria au ya kuthibitisha usahihi wa taarifa |
22,000/= |
|
6 |
Adhabu ya kuchelewesha hati kwa Msajili (kwa kila mwezi au sehemu ya mwezi) |
2,500/= |
|
7 |
Gharama za kujaza taarifa ya mwaka (Annual Return) |
22,000/= |
|
8 |
Malipo ya kuthibitisha waraka wowote (kwa kila ukurasa) |
3,000/= |
|
9 |
Gharama za kutafuta jalada la kampuni yoyote |
5,000/= |
|
10 |
Kupata ripoti maalum ya taarifa za kampuni |
30,000/= |
|
11 |
Kwa Usajili wa Hati ya Dhamana ya Mali iliyowekwa na Kampuni kwa malipo ya kiasi cha fedha:- |
|
|
(a) Isiyozidi Shilingi Milioni 100 |
22,000/= |
|
|
(b) Zaidi ya Shilingi Milioni 100 hadi Milioni 500 |
50,000/= |
|
|
(c) Zaidi ya Shilingi Milioni 500 hadi Bilioni 1 |
100,000/= |
|
|
(d) Zaidi ya Shilingi Bilioni 1 (1,000,000,000) |
150,000/= |
|
|
12 |
Kupata nakala ya Cheti cha Usajili au Cheti cha Uzingatiaji wa Sheria |
10,000/= |
|
13 |
Kujaza hati ya kuthibitisha ukweli na uhalali wa taarifa zilizowasilishwa |
5,000/= |
|
14 |
Kurejesha jina la kampuni katika Daftari la Msajili (Restoration) |
50,000/= |
|
15 |
Ada chini ya Masharti ya Sehemu ya XII ya Sheria (Makampuni ya Nje): |
|
|
(i) Kuwasilisha nakala iliyothibitishwa ya katiba ya kampuni ya nje |
2,000,000/= |
|
|
|
(ii). Kwa madhumuni ya kuwasilisha kwa Msajili hati yoyote inayotakiwa kuwasilishwa chini ya Sehemu ya XII ya Sheria, isipokuwa taarifa ya mizania. |
600,000/= |
|
|
(iii). Kwa madhumuni ya kuwasilisha taarifa ya mizania. |
600,000/= |
|
|
(iv). Kwa kutowasilisha au kuchelewesha kuwasilisha hati yoyote inayotakiwa kuwasilishwa kwa Msajili, kwa kila mwezi au sehemu ya mwezi wa kuchelewa. |
70,000/= |
