Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni

Lango la Mafanikio ya Biashara

Ada za Kampuni

Ada na Gharama za Usajili wa Makampuni

Na.

Aina ya Huduma / Maelezo

Gharama / Ada (Tsh.)

1

Usajili wa Kampuni yenye Mtaji wa Hisa (Kulingana na Thamani):

 
 

(a) Zaidi ya Tsh. 20,000 hadi Tsh. 1,000,000

95,000/=

 

(b) Zaidi ya Tsh. 1,000,000 hadi Tsh. 5,000,000

175,000/=

 

(c) Zaidi ya Tsh. 5,000,000 hadi Tsh. 20,000,000

260,000/=

 

(d) Zaidi ya Tsh. 20,000,000 hadi Tsh. 5,000,000

290,000/=

 

(e) Zaidi ya Tsh. 50,000,000 hadi Tsh. 100,000,000

400,000/=

 

(f) Zaidi ya Tsh. 100,000,000 hadi Tsh. 500,000,000

450,000/=

 

(g) Zaidi ya Tsh. 500,000,000 hadi Tsh. 1,000,000,000

500,000/=

 

(h) Zaidi ya Tsh. 1,000,000,000 hadi Tsh. 10,000,000,000

600,000/=

 

(i) Zaidi ya Tsh. 10,000,000,000

1,000,000/=

2

Usajili wa Kampuni ambayo haina mtaji wa hisa

500,000/=

3

Ada ya utunzaji wa Jina la Kampuni

50,000/=

4

Kwa mabadiliko ya Jina la Kampuni

22,000/=

5

Upokeaji/usajili wa hati ya kisheria au ya kuthibitisha usahihi wa taarifa

22,000/=

6

Adhabu ya kuchelewesha hati kwa Msajili (kwa kila mwezi au sehemu ya mwezi)

2,500/=

7

Gharama za kujaza taarifa ya mwaka (Annual Return)

22,000/=

8

Malipo ya kuthibitisha waraka wowote (kwa kila ukurasa)

3,000/=

9

Gharama za kutafuta jalada la kampuni yoyote

5,000/=

10

Kupata ripoti maalum ya taarifa za kampuni

30,000/=

11

Kwa Usajili wa Hati ya Dhamana ya Mali iliyowekwa na Kampuni kwa malipo ya kiasi cha fedha:-

 
 

(a) Isiyozidi Shilingi Milioni 100

22,000/=

 

(b) Zaidi ya Shilingi Milioni 100 hadi Milioni 500

50,000/=

 

(c) Zaidi ya Shilingi Milioni 500 hadi Bilioni 1

100,000/=

 

(d) Zaidi ya Shilingi Bilioni 1 (1,000,000,000)

150,000/=

12

Kupata nakala ya Cheti cha Usajili au Cheti cha Uzingatiaji wa Sheria

10,000/=

13

Kujaza hati ya kuthibitisha ukweli na uhalali wa taarifa zilizowasilishwa

5,000/=

14

Kurejesha jina la kampuni katika Daftari la Msajili (Restoration)

50,000/=

15

Ada chini ya Masharti ya Sehemu ya XII ya Sheria (Makampuni ya Nje):

 
 

(i) Kuwasilisha nakala iliyothibitishwa ya katiba ya kampuni ya nje

2,000,000/=

 

(ii). Kwa madhumuni ya kuwasilisha kwa Msajili hati yoyote inayotakiwa kuwasilishwa chini ya Sehemu ya XII ya Sheria, isipokuwa taarifa ya mizania.

600,000/=

 

(iii). Kwa madhumuni ya kuwasilisha taarifa ya mizania.

600,000/=

 

(iv). Kwa kutowasilisha au kuchelewesha kuwasilisha hati yoyote inayotakiwa kuwasilishwa kwa Msajili, kwa kila mwezi au sehemu ya mwezi wa kuchelewa.

70,000/=