Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni

Tunaipa Uhai wa Kisheria Biashara yako

Dira, Dhima na Maadili ya Msingi

DIRA

Kuwa taasisi ya mfano kikanda katika utoaji wa huduma bora za usajili na utoaji wa leseni za biashara.

DHIMA

Kuweka mazingira wezeshi ya biashara nchini kwa kurasimisha biashara na kulinda miliki-ubunifu kupitia usajili, utoaji wa leseni na udhibiti wa mwenendo wa biashara.

MAADILI YA MSINGI

  1. Utii wa Sheria
  2. Haki na Usawa
  3. Uwajibikaji
  4. Ushirikiano
  5. Kujali wateja