Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni

Tunaipa Uhai wa Kisheria Biashara yako

Ada za Majina ya Biashara

OMBI ADA (Tsh)
Ada ya maombi    15,000.00
Ada ya uendeshaji (inalipwa kila mwaka)      5,000.00
Maombi ya kusajili Notisi ya Usitishaji wa Biashara   10,000.00
Maombi ya kusajili mabadiliko ya taarifa yoyote iliyosajiliwa   15,000.00
Kukagua rejesta     2,000.00
Nakala ya sehemu ya  isiyo na ithibati ya waraka wowote ulio chini ya uangalizi wa Ofisi ya  Msajili, kwa ukurasa au sehemu ya ukurasa     3,000.00