Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deo Ndejembi (Mb), akimkabidhi tuzo na cheti cha shukurani Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Bw. Godfrey Nyaisa, BRELA ikiwa ni miongoni mwa wadhamini wa kongamano la 13 la Ununuzi na Ugavi.