Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Bw. Godfrey Nyaisa, akitoa ufafanuzi kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Taasisi, kwenye Mkutano wa Majadiliano kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi ulioandaliwa na Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara kwenye Ukumbi wa Mkutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam.