Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni BRELA, Profesa Neema Mori (Kulia) akikabidhi baadhi ya mahitaji kwa Bw. Hamis Suleiman mlezi wa Kituo cha New Faraja Orphanage, Mburahati Dar es Salaam. Kulia ni Bi. Yvonne Massele Afisa Usajili kutoka Kurugenzi ya Miliki Ubunifu BRELA.